TAREHE 15 JUNE 2013, IMEWEKA HISTORIA KUBWA KATI YA FRANK NA MERRY, PALE WALIPOINGIA KTK ULIMWENGU WA WAPENDENAO KWA KUFUNGA NDOA TAKATIFU KTK KANISA LA PAROKIA YA K/NDEGE DODOMA NA KUFUATIWA NA TAFRIJA YA KUWAPONGEZA ILIYOFANYIKA KTK UKUMBI WA NEW VIJANA HALL..CHIN YA MC KIONGOZI
CLASSIC MC AKLEY MWITA..
Pata matukio yaliyojili......
|
Baada ya kuwapokea maharusi tulifungua kwa sala ikiongozwa na Mama Mwanga. |
|
Classic Mc Akley Mwita akielekeza utaratibu wa picha za familia. |
|
Kupendeza kwa sherehe inahitaji chaguo zuri la rangi picha hii imebeba rangi zote |
|
| kuna blue,njano na nyeupe |
|
|
Wakti haswa ukafika kwa Bw. Frank na Bi. Merry kukata keki. |
|
Ukafika wakti wa kulishana keki kuna mitndo rukuki lakin hapa ulikuwa ni wa njiwa na kinda ilipendeza sana. |
|
Frank naye akwenda tofauti akafanya vilevile kwa Merry. |
|
Baba naye Mr Innocent Lugusi akapata wasaa wakutoa pongezi kwa vijana wake. |
|
Pazuri pasifie asikwambie mtu, Classic Mc Akley Mwita akimng'alisha baba baada ya kumaliza nasaha. |
|
Upande wa bi. harusi nao wakafanya yao chin ya mama mlezi. |
|
Ufunguzi wa shampeini ndo uliofuata na kulikuwa na chupa tano za shampeini. |
|
Classic Mc Akley Mwita akifungua yake. |
|
|
Maharusi wakipata shampeini toka kwa Classic Mc Akley Mwita. |
|
Chanda chema uvikwa pete,,,Zawadi lukuki walipewa toka kwa wazazi wao. |
|
Kazi na dawa,,,,,Mziki ukafunguliwa na maharusi wetu. |
|
Msumari unapoingilia ndio utokea,,,Tulifungua kwa Sala basi tukafunga Sala ya baraka toka kwa Classic Mc Akley Mwita. |
|
Hapo mwisho, mwisho kabisaaaaaa |
0 comments: